tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

29 Juni 2015

MTOTO WA RONALDO AWA KIVUTIO…AONESHA UWEZO WA KUSAKATA KABUMBU RONALDO AKILA ‘BATA’ BAHAMA

CR7 Bahama 3Nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo ameendelea kufurahia maisha ya likizo huko Bahama akiwa pamoja na mtoto wake mwenye umri wa miaka mitano baada ya kuitumikia klabu ya kwa msimu mzima pamoja na timu yake ya taifa ya Ureno.
CR7 Bahama 1Mtoto wa Ronaldo amekuwa kivutio kikubwa huko kwenye maeneo ya beach ya Bahama kwa kuonesha uweo mkubwa wa kusakata kabumbu na kuwashawishi watu kusema huenda akawa na kipaji kikubwa kwenye mchezo wa soka kama baba yake (Cristiano Ronaldo).
CR7 Bahama 2
CR7 ndani ya Bahama
CR7 Bahama
CR7 Bahama 4

Hakuna maoni: