tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

29 Juni 2015

VAN GAAL AGEUKA BUBU ISHU YA DAVID DE GEA

Manchester-United-Press-Conference
Ripoti ya gazeti la AS inasema United wanataka dau la Euro milioni 46 kumuachia  golikipa huyo wa zamani wa Atletico Madrid, wakati Marca wao wanasema klabu hiyo ya England itakubali Euro milioni 40.
Akizungumza na Spanish TV, Van Gaal amesema: “Sitaki kuzungumzia ishu hii kupitia vyombo vya habari. Nitazungumza na wakurugenzi wangu, sio vyombo vya habari”.
Ripoti zinaeleza kwamba United wanajaribu kubadilishana na Sergio Ramos, lakini vyanzo vya habari vinasema Real Madrid hawako tayari kumhusisha mlinzi huyo wa kati.

Hakuna maoni: