tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

21 Septemba 2015

MATOKEO MENGINE YA MECHI ZA VPL ZILIZOPIGWA JUMAPILI

sonTottenham wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani wameifunga timu ya Crystal Palace kwa goli 1-0. Son Heung-Min ndiye aliyefunga goli pekee kwenye mchezo huo na kuipa Spurs pointi tatu.
Liverpool wameendelea kucheza bila ushindi kufuatia leo kutoka sare ya kufungana kwa goli 1-1 na timu ya Norwich City kwenye uwanja wa Anfield. Liverpool ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kupitia kwa Danny Ings kabla ya Russell Martin hajaisawazishia Norwich City.
Matokeo EPL Sept 20

Hakuna maoni: