tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

17 Aprili 2016

Hat Trick ya Sergio Aguero imeifanya Manchester City kuondoka na point 3 darajani..


April 16 2016 kuliendelea michezo kadhaa  katika ligi Kuu ya Uingereza michezo ambayo ilipigwa katika viwanja sita tofauti Uingereza, klabu ya Chelsea walikuwa wenyeji wa Manchester city, Mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Stanford Bridge na kuifanya Manchester City kuondoka na point tatu
Screenshot_2016-04-16-21-40-51-1 (1)
Screenshot_2016-04-16-21-40-39-1
Mchezo wa Chelsea dhidi ya Manchester City ndio mchezo uliokuwa unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka, kwani ulikuwa unahusisha timu kubwa za Ligi Kuu Uingereza kwa siku ya April 16 2016. Mchezo ulimalizika kwa Manchester city kuibuka na ushindi wa goli 3-0. Magoli ya Manchester city yalifungwa na Sergio Aguero dakika ya 33, 54, na 81 na kumfanya Sergio Aguero kufunga Hat Trick kwenye mchezo huo.
Mechi zingine zilizopigwa leo April 16 2016 
Norwich City 0-3 Sunderland
Everton 1-1 Southampton
Manchester United 1-0 Aston Villa
Newcastle United 3-0 Swansea City
West Bromwich Albion 0-1 Watford

Hakuna maoni: