tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

13 Mei 2016



Timu ya daraja la tatu nchini Hispania ya Club Deportivo Palencia imezindua jezi yenye muonekano wa ngozi.

Jezi hiyo wataitumia wakati wa mechi za play off kuwania kupanda Segunda B yaani ligi daraja la pili.



Kauli mbiu ya timu hiyo kwa mashabiki wao ni “tunakupa ngozi zetu” na tayari imekuwa gumzo kubwa.

Hakuna maoni: