Baada ya miaka 11, Man Utd yarudi kileleni kwenye listi ya utajiri
Manchester United imewashinda Real Madrid waliofanya vizuri katika michezo kwa miaka 11 baaada ya kukusanya mapato makubwa ya takribani Euro 689 katika msimu wa 2015-2016.
Ukijumlisha vipato vya timu ishirini bora kwa msimu wa 2015-2016 vimeongezeka kwa asilimia 12% na kufikia euro billioni 7.4 hii haijawahi kutokea.
Hii ni mara ya kwanza kwa Man U kushikilia nafasi hiyo tokea msimu wa 2003-04.
Hii ni mara ya kwanza kwa Man City kuingia katika 5 bora.
Listi kamili ya Delloite Money League ipo hivi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni