tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

10 Mei 2017



Manchester United mapemaa imeamua kuuweka hadharani uzi wake mpya wa msimu wa 2017/18.


Uzi huo unaonekana kurudisha kumbukumbu ya Man United kuhusiana na jezi za enzo hizoo wakati wa kipindi cha Alex Ferguson na wachezaji kama Ryan Giggs walikuwa wakichipukia.






Coutinho amekutana na msala huo baada ya kuhudhuria hafla fupi ya kufunga msimu iliyoandaliwa na klabu hiyo.

Imeelezwa mashabiki watukutu ndiyo walilishambulia gari hilo wakati yeye na wachezaji wenzake na mkewe Aine wakiendelea na sherehe katika hafla hiyo ilikuwa ikifanyika kwenye Uwanja wa Anfield.







Hakuna maoni: