tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

29 Juni 2015

BALE, PIRLO, WAMSINDIKIZA LAMPARD KUISHUHUDIA TIMU YAKE MPYA IKISHINDA GOLI 3-1

NYC 6Jana usiku mkongwe wa klabu ya Chelsea Frank Lampard alihudhuria mechi ambayo timu yake ya New York City ilipokuwa ikicheza dhidi ya New York Red Bulls kwenye dimba la Yankee Stadium jijini New York Marekani mchezo uliomalizika kwa New York City kuibuka na ushindi wa goli 3-1.
Mbali na mkali huyo wa zamani wa timu ya Uingereza, winga wa Real Madri Gareth Bale na kiungo wa Juventus ambaye anatarajiwa kujiunga na timu hiyo ya New York City pia walikuwepo uwanjani kushuhudia mtanange huo.

Pirlo akiingia uwanjani kabla ya mchezo kuanza
Pirlo akiingia uwanjani kabla ya mchezo kuanza
Pirlo akiwa jukwaani akifuatilia mechi kwa makini
Pirlo akiwa jukwaani akifuatilia mechi kwa makini
Bale akiingia uwanjani kushuhudia mtanange huo
Bale akiingia uwanjani kushuhudia mtanange huo

NYC 5

Hakuna maoni: