tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

11 Juni 2015

Chelsea yasajili beki kinda kutoka Romania, tazama video akionesha Skills zake…

FOTBAL - UNDER 17 - SERBIA - ROMANIA
Chelsea wameripotiwa kukamilisha usajili wa kwanza majira ya kiangazi mwaka huu wakiinasa saini ya mlinzi wa miaka 17, raia wa Romania,  Cristian Manea.
Mkurugenzi mkuu wa  FC Viitorul Constanța amethibitisha usajili huo leo asubuhi kupitia vyombo vya habari kama inavyoonekana chini;
Breaking: Viitorul’s CEO confirmed Manea’s move to Chelsea and Ianis Hagi’s leave for Fiorentina!
Kijana huyo mdogo wa Romania anakuwa miongoni mwa vijana wadogo waliojiunga na Chelsea, ingawa haingii kwenye kikosi cha kwanza.
Tazama  video inayoonesha ufundi wa kijana huyu….

Hakuna maoni: