Arsenal
imekamilisha usajili wa golikipa wa Chelsea Peter Cech na anatarajiwa
kukipiga na klabu yake ya zamani akiwa ametinga uzi wa Emirates kwenye
mchezo wa ngao ya jamii utakaopigwa Agosti 2 mwaka huu kwenye uwanja wa
Wimbley
Habari kamili inakujia hivi punde…..
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni