tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

22 Juni 2015

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA THIERRY HENRY KUHUSU MESUT OZIL

Siku chache zilizopita Henry alishiriki kwenye uzinduzi wa jezi mpya za Arsenal. Lakini hivi sasa hanbari inayomuweka Titi kwenye headline ni jinsi alivyomsifia sana Mesut Ozil.
ozil
Kwenye kauli yake Henry alitumia maneno mengi kumpa sifa mchezaji huyo wa Arsenal. Kwenye tafsiri yake Henry alisema hivi, “Mesut ni mchezaji mzuri sana, wote tunajua kuhusu uwezo wake. Wote tunajua amefanya nini kwenye mchezo wa soka. Yeye ni bingwa wa dunia na inabidi uheshimu hilo na akiwa kwenye mechi anakuwa vizuri sana. Ni mchezaji wa ajabu. Kama akiwa kwenye fomu aliyoonyesha kwenye FA Cup final basi ni vigumu sana kumzuia kufanya akitakacho”.
Hayo ni maneno ya legend Thierry Henry
ozil2

Hakuna maoni: