tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

19 Juni 2015

Umeona Arsenal walivyotambulisha Jezi zao mpya? Unaambiwa MC alikuwa Thierry Henry.. (PICHAZ)

heny2
Maandalizi ya zile pilikapilika za Ligi mbalimbali Ulaya yanaendelea, kwenye Klabu kuna mengi yanafanyika ikiwemo kubadili Jezi zao na kuzitangaza.
heny
Arsenal wameingia kwenye Headlines nao baada ya kuzindua Jezi zao mpya watakazozitumia msimu wa 2015/16… Uzinduzi umefanyika kwenye Uwanja wao wa nyumbani wa Emirates, London na MC alikuwa striker wa zamani wa Klabu hiyo, Thierry Henry.
heny3
Fans wa Klabu hiyo nao walipata nafasi ya kushuhudia tukio hilo jingine kubwa la Kihistoria.
heny5
Add caption
heny4 



heny9 

heny8


heny10 

11 

Ars II

Hakuna maoni: