INTERNATIONAL CHAMPIONS CUP: SUAREZ AISAIDIA BARCA KUIPIGA LA GALAXY!
Bao za Barcelona zilifungwa na Luis Suarez, Dakika ya 45, na Sergi
Roberto, Dakika ya 56, wakati LA Galaxy walifunga Bao lao Dakika ya 90
kupitia Tommy Meyer.
Hii ni Mechi ya kwanza ya Barcelona tangu watwae Ubingwa wa Ulaya
Mwezi Mei walipoifunga Juventus 3-1 lakini Kocha wao, Luis Enrique,
alicchagua Kikosi imara ingawa kilikuwa na Wachezaji Watatu tu
waliocheza Fainali hiyo ya Ulaya ambao ni Suarez, Sergio Busquets na
Ivan Rakitic.
VIKOSI:
LA GALAXY (Mfumo 4-4-1-1): Rowe; Gargan, DeLaGarza, Leonardo, Dunivant; Husidic, Walker, Juninho, Maganto; Gerrard; Keane.
Akiba: Buddle, Vayrynen, Meyer, Lassiter, Lletget, Garcia,
Wolverton, Romney, Jamieson, Steres, Mendiola, Villarreal, McBean,
Sorto, Rogers.
BARCELONA (Mfumo 4-3-3): Masip; Douglas, Mathieu, Bartra, Adriano; Sergi Roberto, Busquets, Rakitic; Pedro, Suarez, Rafinha.
Akiba: Munir, Sergi Samper, Vermaelen, Sandro Ramirez, Halilovic, Gumbau, Jordi Alba, Jose Suarez, Pique, Iniesta, Ter Stegen.
REFA: Ismail Elfath
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni