ANGALIA ALICHO-TWEET LUKE SHAW BAADA YA KUUMIA
Shaw alitolewa nje ya uwanja kwa machela ikiwa ni dakika ya 24 kipindi cha kwanza na nafasi yake kuchukuliwa na Marcos Rojo.
Inaelezwa kuwa Shaw amevunjika mguu na anatarajiwa kufanyiwa upasuaji mara atakapotua jijini Manchester.
Shaw ameandika kwenye akaunti yake ya Twitter akiwashukuru wale wote walomtumia massages za kumtakia kila la kheri na apone haraka kutokana na jeraha alililopta.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni