Palace kumsajili Benteke
Liverpool imekubali dau la pauni mil 27 kutoka Crystal Palace
kwa ajili ya mshambuliaji wake asiye na namba Christen Benteke.
Benteke anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya leo Ijumaa kabla ya kukamilisha usajili wake huko London.
Hata hivyo, thamani ya mchezaji huyo inaweza kuzidi pauni mil 30, kulingana na makubaliano ya timu hizo.
Palace imekuwa ikisaka mbadala wa Bolasie aliyeuzwa Everton.
Benteke anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya leo Ijumaa kabla ya kukamilisha usajili wake huko London.
Hata hivyo, thamani ya mchezaji huyo inaweza kuzidi pauni mil 30, kulingana na makubaliano ya timu hizo.
Palace imekuwa ikisaka mbadala wa Bolasie aliyeuzwa Everton.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni