tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

11 Agosti 2016

Wanasoka 10 wanaolipwa zaidi



Wanasoka 10 wanaolipwa zaidi wachezaji wawili bora duniani Cristiano Ronaldo na Lionel Messi wamewaacha wengine mbali katika kuvuta mkwanja mrefu kwa upande wa wacheza soka.

    Ronaldo, ambaye hivi karibuni ameisaidia Ureno kushinda kombe la mataifa ya Ulaya 2026, anaongoza chati hiyo akiwa na mshahara wa £288,000 kwa wiki baada ya makato ya kodi (sawa na kitita cha £15 million kwa mwaka) waka Messi akiwa nafasi ya pili kwa kulipwa vizuri anachukua kitita cha £275,000 (sawa na £14.5 million kwa mwaka).

    Baada ya kukamilika kwa dili lililovinja rekodi ya uhamisho duniani la ada ya paundi milioni 89 (sawa na dola za Marekani milioni 115.98), Paul Pogba ambaye amesaini miaka mitano kuitumikia Manchester United mkataba wake unamfanya alipwe £260,000 kwa wiki kabla ya kodi.

    Orodha kamili kuanzia chini ya mishahara ya wachezaji wanaolipwa pesa mingi zaidi baada ya makato ya kodi.

    David Silva £200,000
    Neymar £220,000
    Asamoah Gyan £227,000
    Segio Aguero £240,000
    Yaya Toure £240,000
    Zlatan Ibrahimovic £250,000
    Wayne Rooney £260,000
    Paul Pogba £290,000(Kabla ya kukatwa kodi)
    Lionel Messi £275,000
    Cristiano Ronaldo £288,000

Hakuna maoni: