tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

28 Juni 2015

Klabu ya AC Milan imefikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji Carlos Bacca raia wa Colombia.

Milan imekubali kutoa eur milioni 30 kumnasa Bacca aliyetoa mchango mkubwa na kuisaidia Sevilla kutwaa ubingwa wa Europa.
Kwa mujibu wa gazeti la La Gazzetta dello Sport la nchini Italia, kwamba mshambuliaji huyo mwenye miaka 28 ni chaguo la kwanza la Milan ambayo imejipanga kujiboresha.

Milan imekuwa na msimu mbaya katika msimu uliopita na sasa imepania kufanya usajili kamambe.

Hakuna maoni: