tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

22 Juni 2015

DIEGO MARADONA ANATARAJIWA KUTANGAZA NIA

dona
Mkongwe wa soka kutoka nchini Argentina Diego Maradona ambae ana historia kubwa kwenye ulimwengu wa soka kwa uwezo wake mkubwa na pia maisha yake ya nje ya soka kufatiliwa sana na vyombo vya habari.
Kitu kipya kutoka kwa Maradona hivi sasa ni kwamba anatarajiwa kutangaza nia ya kugombea nafasi ya urais wa FIFA.
Hivi sasa inasubiliwa taarifa rasmi kutoka FIFA lini uchaguzi mkuu utafanyika baada ya Blatter kujiuzulu.
Watu mbalimbali wamejitokeza na Maradona amemwambia mwandishi wa habari maarufu wa michezo Victor Hugo Morales kwamba amezungumza na Maradona na amemwambia kwamba atatangaza nia yake ya kugombea urais wa FIFA.
Alijibu kwa maneno machache tu, “I am a Candidate”. Maradona alinijibu hivyo baada ya kumuuliza kuhusu mawazo yake ya kuhusu kugombea nafasi hiyo kubwa kwenye FIFA.
Rais wa Venezuela aliwai kusema kwamba Maradona ndie awe Rais anaefuatia wa FIFA. Maradona ana miaka

Hakuna maoni: