tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

23 Juni 2015

Mandzukic atua Juve kuchukua nafasi ya Tevez

MandzukicJuventus wamemsajili mshambuliaji Mario Mandzukic  kutoka Atletico Madrid kwa pauni milioni 13.6. Mshambuliaji huyo raia wa Crosia alijiunga na Atletico mwaka jana akitokea Bayern Munich na alifanikiwa kupachika mabao 20 katika mechi 43 alizocheza. Mandzukic amesaini mkataba wa miaka minne.

Hakuna maoni: