tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

23 Juni 2015

Mchezaji wa Congo DRC asajiliwa klabu iliyopanda daraja EPL

mulumbuNorwich City waliopanda daraja msimu huu wamekubali kumsajili kiungo kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Youssouf Mulumbu kwa mkataba wa miaka miwili.
Mulumbu mwenye umri wa miaka 28 atahamia Norwich Julai 1, wakati mkataba wake na West Brom utakapomalizika.

Hakuna maoni: