tecno

tecno

airtel

airtel

.

.

nido

nido

RADIO LISTEN NOW

23 Julai 2015

MANENO 33 YA ARSENE WENGER AKIZUNGUMZIA UBINGWA WA PREMIER LEAGUE

CKjSBXNWoAAEKng
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger sasa anaamini kwamba kikosi chake kipo tayari kushinda taji la ligi kuu soka England msimu ujao.
Bosi huyo wa Gunners anajiamini kwamba timu yake itawazuia Chelsea kutetea ubingwa wao, huku akikanusha kuwa Arsenal ni dhaifu mbele ya  The Blues.
Arsenal haijawahi kushinda kombe tangu 2004, mwaka ambao Jose Mourinho aliwasili mjini London, lakini Wenger ambaye hajawahi kumfunga Mourinho amewaambia Independent
“Tutashinda ubingwa msimu ujao? huwezi kujipa uhakika katika michuano ya ligi kuu. Nataka kusema kwamba, tutapambana kuwania ubingwa. Nikiwa kocha lazima niisaidie timu, lakini mwisho wa siku najua mwishoni mwa msimu nitakuwa wapi”.
Kuanzia Agosti 8 mwaka huu, Arsenal wataungana na Manchester City, Manchester United kuwania ubingwa ambao unashikilia na Chelsea.

Hakuna maoni: