LA LIGA: MESSI AKOSA PENATI, APIGA 2, BARCA KILELENI!
- Created: Monday, 21 September 2015 04:59
Licha ya kukosa Penati katika Dakika ya 75, Lionel Messi alifunga Bao 2, moja likiwa pia Penati ya Dakika ya 61 na jingine kwenye Dakika ya 90.
Bao nyingine za Barca zilifungwa na Marc Bartra Dakika ya 50 na Neymar
Dakika ya 56.
Bao pekee la Levante lilifungwa na Victor Casadesus katika Dakika ya 66.
Ushindi huu umewafikisha Barcelona Pointi 12 baada ya kushinda Mechi zao zote 4 na kuongoza La Liga wakifuatiwa na Real Madrid wenye Pointi 10 wakiwa wamefungana kwa Pointi na Villareal na Celta Vigo.
La Liga itaendelea tena kati ya Wiki kwa Mechi za Jumanne, Jumatano na Alhamisi.
VIKOSI:
Barcelona (Mfumo 4-3-3): Ter Stegen; Alves, Bartra, Mascherano, Adriano; Busquets, Rakitic, Munir; Messi, Sandro, Neymar
Akiba: Masip, Alba, Mathieu, Sergi Roberto, Iniesta, Gerard Gumbau, Suarez.
Levante (Mfumo 5-3-2): Ruben; Ivan, Trujillo, Feddal, Juanfran, Tono; Camarasa, Lerma, Verza; Ghilas, Roger
Akiba: Marino, Karabelas, Jose Mari, Deyverson, Ruben Garcia, Morales, Victor Casadesus.
REFA: David Fernandez Borbalan
LA LIGA
RATIBA/MATOKEO:
**Saa za Bongo
Ijumaa Septemba 18
Getafe CF 1 Malaga CF 0
Jumamosi Septemba 19
Real Madrid CF 1 Granada CF 0
Valencia C.F 0 Real Betis 0
SD Eibar 0 Atletico de Madrid 2
Real Sociedad 2 RCD Espanyol 3
Jumapili Septemba 20
Sevilla FC 1 Celta de Vigo 2
Deportivo La Coruna 2 Sporting Gijon 3
Villarreal CF 3 Athletic de Bilbao 1
FC Barcelona 4 Levante 1
Las Palmas 0 Rayo Vallecano 1
Jumanne Septemba 22
2100 Atletico de Madrid v Getafe CF
2100 RCD Espanyol v Valencia C.F
2300 Granada CF v Real Sociedad
Jumatano Septemba 23
2100 Celta de Vigo v FC Barcelona
2100 Rayo Vallecano v Sporting Gijon
2100 Levante v SD Eibar
2200 Athletic de Bilbao v Real Madrid CF
2300 Malaga CF v Villarreal CF
2300 Las Palmas v Sevilla FC
Alhamisi Septemba 24
2305 Real Betis v Deportivo La Coruna
Ijumaa Septemba 25
2130 Valencia C.F v Granada CF
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni